Skip to content

Involvement

Home » Jamvi la Kiswahili

Jamvi la Kiswahili

EBOLA IMERUDI?

Na Chelangat Caren, Usiku huo saa tatu, simu ilipiga na kila kitu kilibadilika. Sauti upande wa pili ilitetemeka, “Daktari, mgonjwa wetu ana homa kali, anatoa… Read More »EBOLA IMERUDI?

SAUTI YA KESHO

Na Chelangat Caren,   Kujenga kesho ni sasa, Sauti yako ni nguvu, usiache, Wahenga walisema, “Mtu ni watu,” Siasa si uchafu, ni hatua.   Kura… Read More »SAUTI YA KESHO

KIVULI CHA SIASA

Na Chelangat Caren, Kenya, nchi ya jua na vivutio vya watalii, imekuwa ikisumbuliwa na siasa za kikabila kwa muda mrefu. Uchaguzi wa 2022 ulileta matumaini… Read More »KIVULI CHA SIASA

Tumepanda Mbegu

Na Chelangat Caren chelangatcaren756@gmail.com, Vecteezy   Tumepanda mbegu, za elimu ndani ya mioyo, Tukiitumaini kesho, iliyo bora zaidi, Nuru ya maarifa, inatuongoza, Katika njia ya… Read More »Tumepanda Mbegu