Involvement

Habari

Habari, National News, Politics

Rais Ruto Awasimamisha Mawaziri Wote, Atangaza Mabadiliko Makubwa Serikalini

By Joe Aura mawasiliano: aurajoe6@gmail.com {picha ya REUTERS}   Nairobi, Kenya – Julai 11, 2024: Katika hatua muhimu, Rais William Ruto ametangaza mabadiliko makubwa katika utendaji wa serikali, akieleza haja ya kuwa na serikali nyembamba na yenye ufanisi ili kutimiza matarajio makubwa ya Wakenya. Katika kipindi cha miaka miwili iliyopita, serikali imekuwa ikilenga Ajenda ya […]

Habari, Jamvi la Kiswahili

HEKAHEKA ZA MUHULA WA SEPTEMBA

Na Mariita Joshua Ongoro Ni kweli kwamba mihula ya masomo hapa chuoni huwa na mambo yanayochipuka mwanzoni, kati na hata mwishoni. Muhula ukianza kawaida kuna kule kung’ang’ana na hali ya ulipaji karo, usajili wa masomo na mahudhurio ya mara kwa mara. Zaidi, hamna jambo linalobubujisha msongo wa mawazo kama vile kukosa chumba cha kupanga. Je,

Habari, Jamvi la Kiswahili

STR8 UP YAALIKA KIZAZI CHA GEN Z

Na Leeroy Wuone Wanafunzi wa chuo kikuu cha Daystar shule ya mawasiliano walihudhuria hafla iliyoandaliwa Standard group mnamo Jumamosi tarehe 28 Septemba mwaka wa 2024.Wanafunzi kumi na watatu walihudhuria hafla hio iliyobandikwa jina “Siku ya ubunifu ya kizazi cha Gen-Z’’. Lengo la Standard group la kuandaa hafla hio ilikuwa kuwahamasisha wanafunzi kuhusu mambo yanavyoendelea kwenye

Habari

Kisanga cha Mlipuko wa Gesi

Na Abdul Shaban Mlipuko wa gesi ulisababisha moto umeuwa watu wawili na kujeruhi zaidi ya 200 katika mji mkuu wa Kenya Nairobi, mamlaka imesema leo. Mlipuko huo ulitokea katika mtaa wa Embakasi jijini Nairobi kabla ya saa sita usiku katika kampuni ya kujaza gesi, ambayo jengo lake liliharibiwa vibaya, msemaji wa serikali alisema. Moto huo

Habari

TATANISHI LA MAFURIKO MJINI MOMBASA

  Na Ashley Mbashu   Kulingana na taarifa za hali ya anga, sehemu tajika za kaunti ya Mombasa zimeshuhudia mvua ya  mno.   Mafuriko yanaendelea kuzua misukosuko mjini Mombasa. Baadhi ya mikoa iliyoathirika kupita kiasi ni eneo la Bamburi, Old Town na kwingineko. Takwimu za serikali zinaarifu kuwa kaunti 33 zimeathirika kutokana na mvua kubwa

Habari, Jamvi la Kiswahili

MAKAMU CHANSELA WA CHUO KIKUU CHA DAYSTAR ATEULIWA KAMA MWAKILISHI WA KITAIFA WA BODI YA CHAMA CHA ELIMU YA MAREKEBISHO, MAREKANI.

[Picha kwa hisani ya Prof. Laban Ayiro Facebook]   Na Ashley Mbashu   Makamu wa chansela, Profesa Laban Ayiro, ateuliwa kuwa mwakilishi wa bodi ya chama cha Elimu ya Marekebisho,  Marekani. Chama hiki kinahusu wataalamu wanaofanya kazi kwenye vitengo vya watu wazima na watoto kote nchini. Wao hutoa mafunzo muhimu na mitandao yenye manufaa ili

Scroll to Top