Involvement

athlete

International Sports, Kenyan Sports, National News, Sports

MWANARIADHA ELIUD KIPCHOGE AMEWEKA REKODI DUNIANI

Na Wangu Kanuri kanuriwangu@gmail.com Oktoba 12 mwaka wa 2019 ni siku ambayo daima itakuwa kumbukumbu kwani mwanariadha Eliud Kipchoge amevunja rekodi aliyokuwa amejiwekea ya kukimbia kwa kilomita arubaini na mbili kwa muda wa saa moja na dakika hamsini na tisa. Isitoshe jina lake limeandikwa katika kitabu cha rekodi cha dunia cha Guiness. Eliud aliyekuwa amejibidisha […]

Campus News, Faces of Daystar, Falcons News, Features, Sports

SHUJAA WETU

Na: Wangu Kanuri kanuriwangu@gmail.com TOA maelezo yako kuhusu mchezo wa raga Raga ni mchezo ambao unahitaji nguvu haswa kwenye misuli. Mchezo huu umegawanywa katika makundi mawili makuu; ya wachezaji saba na ya wachezaji kumi na tano. Kundi hili la wachezaji saba hujulikana vyema kama rugby 7s ilhali hilo la wachezaji kumi na tano hujulikana kama

Scroll to Top