Involvement

PENYE SAMIA PANA SULUHU

(Picha kwa hisani ya SportsArena)

{Na Abdul Shaban}

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameonyesha nia ya kuomba kuandaa AFCON mwaka 2027 kama Tanzania itapata viwanja vingine vitatu vipya zaidi ya vilivyopo.

Rais Samia aliyasema hayo wakati akipokea Kombe la Dunia 2022;

“Kwa sasa tuna hiki cha Mkapa, Amaan Zanzibar, hivyo bado viwanja vitatu tuweze kujihakikishia kufanya maombi ya AFCON 2027 iletwe Tanzania,”

Alisema Samia huku kampuni ya Coca Cola ikiahidi kujenga viwanja vingine vitatu, kimoja Dodoma na viwili Dar-es-salaam.

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Scroll to Top