MKAHAWA WA NDANI
Na Chelangat Caren Maktaba ya chuo kikuu usiku ni ulimwengu mwingine kabisa, tofauti na shamrashamra za mchana. Giza la nje huongeza ukimya wa ndani, na… Read More »MKAHAWA WA NDANI
Na Chelangat Caren Maktaba ya chuo kikuu usiku ni ulimwengu mwingine kabisa, tofauti na shamrashamra za mchana. Giza la nje huongeza ukimya wa ndani, na… Read More »MKAHAWA WA NDANI
Na Joe Aura, aurajoe6@gmail.com Dunia iko wapi? Kwa nini msitusaidie? Hili ni swali la mama mmoja aliyenusurika katika machafuko ya Sudan, maneno aliyoyasema kwa majonzi… Read More »Vita vya Kutisha Sudan na Matokeo Yake
Joe Aura, aurajoe6@gmail.com CAF yasema inahitajika muda zaidi ili kukidhi viwango vya kimataifa vya uandaaji Shirikisho la Soka la Afrika (CAF) lilitangaza tarehe 14 Januari… Read More »CAF Yachelewesha TotalEnergies CHAN 2024 hadi Agosti 2025
Joe Aura, aurajoe6@gmail.com Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametangaza mlipuko wa virusi vya Marburg wiki moja tu baada ya waziri wa afya kukanusha uwepo… Read More »Mlipuko wa Virusi vya Marburg Nchini Tanzania
Na Mariita, Muhula wa Septemba umejawa na matukio mbalimbali ikiwemo michezo ya Falcon, burudani, wiki ya maonyesho ya mila na desturi za Kiafrika, biashara, utandawazi,… Read More »Hongera Septemba
By Joe Aura mawasiliano: aurajoe6@gmail.com {picha ya REUTERS} Nairobi, Kenya – Julai 11, 2024: Katika hatua muhimu, Rais William Ruto ametangaza mabadiliko makubwa katika… Read More »Rais Ruto Awasimamisha Mawaziri Wote, Atangaza Mabadiliko Makubwa Serikalini
Na Mariita Joshua Ongoro Ni kweli kwamba mihula ya masomo hapa chuoni huwa na mambo yanayochipuka mwanzoni, kati na hata mwishoni. Muhula ukianza kawaida kuna… Read More »HEKAHEKA ZA MUHULA WA SEPTEMBA
Na Leeroy Wuone Wanafunzi wa chuo kikuu cha Daystar shule ya mawasiliano walihudhuria hafla iliyoandaliwa Standard group mnamo Jumamosi tarehe 28 Septemba mwaka wa 2024.Wanafunzi… Read More »STR8 UP YAALIKA KIZAZI CHA GEN Z
Na Mariita Joshua Ongoro Nimefika kwenye bwalo, nipo foleni nawaona wanachuo kila mtu kashika hamsini zake. Nina mkoba wangu wa ngozi umening’inia begani na kila… Read More »TUMBIRI BWALONI
Na Mariita Joshua Langu sikitiko ni haja ya moyo, Moyo wenye kuvunjika na kuvunda, Makovu yangalipo kama alama ya utambulisho. Nisijafa ili nililiwe ila vikao… Read More »Sikitiko la moyo