Jamvi la Kiswahili

JULAI 7: SIKU YA KISWAHILI DUNIANI

  1. (Picha kwa hisani ya Mwanaspoti)

Na Abdul Shaban

 

Siku hii inalenga kukuza matumizi ya Lugha hiyo kama nguzo ya Umoja, Ustawi na Amani

Kiswahili ni miongoni mwa Lugha zinazotumiwa zaidi Afrika, na kwa Mujibu wa Umoja wa Mataifa (UN) ni kati ya Lugha 10 zinazozungumzwa na watu wengi duniani, ikiwa na wazungumzaji zaidi ya Milioni 200

Invo

Invo

The online involvement editor manages this author. The articles posted are associated with the various writers and editors for the involvement Newspaper.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *